Vagabond Multilingual Journal Spring 2014 | Page 32

Vyakula vya Keny na Amerika Hamjambo wanafunzi, shikamoo Mwalimu. Habari za asubuhi? Jina langu ni Patrick. Ninatoka Berkeley Ca, na sasa, ninakaa Santa Rosa Ca. Mimi ni mwanafunzi hapa, katika chuo kikuu cha Berkeley. Leo asubuhi, ninataka kusema kuhusu(about) vyakula vya Kenya na vyakulu vya Amerika. Kwa nini? Kwa sababu ninataka kusafiri Kenya na sijui kama(if) nitapenda chakula huko(there), au katika Afrika Mashariki. Sisafiri nje ya nchi ya Amerika. Mimi ni mtu wa nyumbani. Pia, Mtoto wangu Ryan anataka kusafiri na mimi, na Ryan anajua chakula ni muhimu(important) sana, na tunakuwa wasiwasi hatupendi chakula cha Kenya. Nilimwambia Ryan “usijali”, “usijali”, kwa sababu katika kitabu chetu cha Kiswahili, nilisoma kwamba(that) vyakula vya kenya ni kama vyakula vya Amerika. Kwa mafano, Wakenya wanakula ugali (poridge), sukuma wiki (Greens), kachumbari (tomatos and onions and chili peppers), ikwa (yams), samaki (fish), chapati (bread), ngwaci (sweet potato), nyama choma (grilled meat), gweno (chicken). Vyakula hivi(these) ni kama(like) vyakula vya Amerika, si hivyo? Wamarekani wanapenda kula samaki, nyama choma, chapati, na sukuma wiki pia. Watu wa Amerika ni sawa na watu wa Kenya. Kwa hivyo, ninajua mimi na mtoto wangu tutapenda kula vyakula vya Kenya. Asante Sana 32