Vagabond Multilingual Journal Spring 2014 | Page 12

Mama Abdul : Salama wewe unaweza kuolewa na mwana wetu Rukia : Babaa ! Baba Rukia : Hawa wawili wanapendana Mama Rukia : Hapana kwa nini unasema ? wewe si mwerevu. Baba Abdul : Neema nambari yako ya simu ni ? Neema : (Mwanahabari anajifanya hakusikia swali la Baba Abdul.Aanamwalika mgeni mgeni kutoka kwenye) Sawaa tuna mgeni aliye na jambo la kusema Tausi: Nina swali. mmh ! Ninafikiri watu hawa wawili ni lazima kuwa pamoja kwa sababu wanapendana na si kwa sababu wanatoka makabila tofauti. Angalia wazazi wenu wanagombana kila wakati na wanatoka kabila moja.